Hadithi za Agano Jipya UtanguliziKuhusu Agano JipyaHadithi ya Yesu Kristo na wafuasi Wake Luka 1:5–25, 57–80Yohana Mbatizaji AnazaliwaMungu anatimiza ahadi kwa Elisabeti na Zakaria Mathayo 1; Luka 1Malaika Wanamtembelea Mariamu na YusufuWateule wa kumtunza Mwana wa Mungu Luka 2; Mathayo 2:1–15Mwokozi AnazaliwaAhadi ya Mungu inatimizwa Luka 2:39–52Mvulana YesuKujifunza na kukua Mathayo 3Yesu AnabatizwaKuweka mfano wa utiifu kwa Mungu Yohana 1:43–51Njoo UoneKumwalika rafiki kumfuata Yesu Mathayo 4:1–10Shetani Anamjaribu YesuMfano wa kushinda majaribu Yohana 4Yesu, Mwanamke, na KisimaAkifundisha kuhusu maji ya uzima Luka 4:16–31Yesu Anashuhudia Juu ya Misheni YakeAnakataliwa huko Nazareti Mathayo 10; Luka 5:1–11; 6:12–16Yesu Anawachagua Mitume WakeMwaliko wa kuwa “wavuvi wa watu” Mathayo 5–7Yesu Anafundisha Mahubiri ya MlimaniKutusaidia kuwa zaidi kama Baba yetu wa Mbinguni Marko 2:1–12Yesu Anamponya Mtu Ambaye Hakuweza KutembeaUponyaji wa kimwili na kiroho Mathayo 8:23–27; Marko 4:36–41Yesu Anatuliza DhorubaHata upepo na bahari vinamtii Yeye Marko 5:21–43Yesu Anamponya Mwanamke na Kumfufua Binti wa Yairo“Usiogope, amini tu” Luka 7:1–10Yesu Anamponya Mtumishi wa AkidaKiongozi wa Kirumi aonyesha imani kubwa Luka 7:36–50Yesu Anamsamehe Mwanamke“Alipenda sana” Mathayo 12:1–12; Luka 13:10–17Yesu Anamponya Mwanamke Siku ya SabatoKutenda mema katika siku Yake takatifu Mathayo 13Yesu Anafundisha kuhusu Udongo, Mbegu, Mkate, na LuluHadithi rahisi za kutusaidia kuelewa kweli za kiroho Yohana 5:1–17Yesu Kristo katika Birika la BethzathaAnamponya mtu aliyekuwa mgonjwa kwa muda mrefu Matthayo 14:13–21; Yohana 6Yesu Anawalisha Maelfu ya WatuYeye ni Mkate wa Uzima. Mathayo 14:22–33Kutembea juu ya MajiImani hushinda hofu Mathayo 16–17Yesu Anawapa Mitume Wake Funguo za Ukuhani“Juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu” Marko 8:22–25Yesu Anamponya Mtu AsiyeonaUponyaji ambao hutokea baada ya muda Mathayo 18:21–34Mfano wa Mtumishi Ambaye Hakuweza KusameheYesu Anafundisha kuhusu msamaha Yohana 8:1–11Watu Wanataka Kumwadhibu Mwanamke Aliyetenda Dhambi“Enenda zako, wala usitende dhambi tena” Yohana 10:1–18Yesu Ni Mchungaji Mwema"Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua" Luka 10:25–37Mfano wa Msamaria MwemaKuwapenda majirani zetu kama tunavyojipenda wenyewe Luka 10:38–42Martha na MariamuKuchagua kile kilicho muhimu zaidi Luka 15Kondoo Aliyepotea, Shilingi Iliyopotea, na Mwana MpotevuMifano mitatu kuhusu upendo wa Mungu Luka 17:11–19Yesu Anawaponya Wanaume Kumi Waliokuwa na UkomaUmuhimu wa shukrani Mathayo 20:1–16Mfano wa Wafanyakazi katika Shamba la MizabibuUjumbe wa matumaini Marko 10:13–16Yesu Anawabariki Watoto Wadogo“Kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao” Marko 10:17–31Yesu na Kijana Tajiri"Nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?" Yohana 11:1–46Yesu Anamfufua Lazaro“Mimi ndimi huo ufufuko, na uzima” Luka 19:1–10Zakayo Mtoza UshuruAkipanda mti kumwona Yesu Mathayo 21:1–16Yesu Anaingia YerusalemuWatu wanamkaribisha Mwokozi wao Marko 12:41–44Mjane na Sarafu Mbili NdogoYesu Anafundisha kuhusu dhabihu Mathayo 25:1–13Mfano wa Wanawali KumiKuwa tayari kwa ajili ya Yesu kuja tena Mathayo 25:14–30Mfano wa TalantaKufanya zaidi na kile Mungu ametupatia Mathayo 25:31–46“Mlinitendea Mimi”Tunapowatumikia wengine, tunamtumikia Yesu Mathayo 26; Luka 22; Yohana 13–14Karamu ya MwishoYesu anaanzisha sakramenti Mathayo 26:36–46; Luka 22:39–46Yesu akiwa GethsemaneAkiteseka kwa ajili ya dhambi za ulimwengu Marko 14–15; Luka 22–23; Yohana 18–19Yesu AnakamatwaKumhukumu Mwana wa Mungu Mathayo 27; Luka 23; Yohana 19Yesu Anautoa Uhai Wake Kwa ajili YetuDhabihu ya kutuokoa kutokana na dhambi na mauti. Luka 24:1–12, 36–49; Yohana 20AmefufukaYesu Kristo anashinda mauti kwa ajili ya wote Luka 24:13–25Yesu Anawafariji Wanafunzi WawiliMatembezi ya pamoja njiani kuelekea Emau Yohana 21; Mathayo 28:16–20; Marko 16:15–19.Yesu Anawaomba Mitume Kuwalisha Kondoo WakeKuonyesha upendo kwa Yesu kwa kuwafundisha wengine kumhusu Yeye Matendo ya Mitume 1–4Mitume wa Yesu Wanaliongoza Kanisa LakeKufundisha, kubatiza, kuponya, na kushiriki kila kitu Matendo ya Mitume 6–7Stephano Anashuhudia juu ya Yesu KristoMtumishi jasiri anayeutoa uhai wake kwa ajili ya ushuhuda wake Matendo ya Mitume 8:5–24Simoni na Nguvu za MunguKujifunza kuhusu ukuhani wa Mungu Matendo ya Mitume 9:1–31Yesu Anamtokea SauliMwaliko wa kutubu na kumfuata Bwana Matendo ya Mitume 9:36–42Tabitha, Mwanamke “Aliyejaa Matendo Mema”Alifufuliwa kwa uwezo wa Yesu Kristo Matendo ya Mitume 10Kornelio na Rafiki Zake Wanampokea Roho MtakatifuInjili ni kwa ajili ya kila mtu Matendo ya Mitume 12:1–17Malaika Anamwachia Petro Kutoka GerezaniMungu anajibu sala Matendo ya Mitume 16:9–40Paulo na SilaWaliokolewa kwa miujiza kutoka kwa Bwana Matendo ya Mitume 21–22; 26–28Miujiza wakati wa Safari ya Paulo kwenda RumiBwana anambariki mtumishi Wake Warumi 3:21–28, 5:1–11; 6:3–6Kumtegemea Yesu Kristo kwa ajili ya WokovuKuokolewa kwa neema Yake Warumi 8:18–39Hakuna Kitakachotutenganisha na Upendo wa KristoAhadi kwa nyakati ambapo maisha ni magumu 1 Wakorintho 6:16–20Paulo Analinganisha Miili Yetu na HekaluZawadi takatifu kutoka kwa Mungu 1 Wakorintho 12–13Paulo Analinganisha Kanisa na Mwili wa KristoAkifundisha kuhusu karama za roho, umoja, na hisani 1 Wakorintho 15Katika Kristo Wote WatahuishwaPaulo anafundisha kuhusu ufufuo 2 Wakorintho 12:7–10Yesu Anaweza Kuvifanya Vitu Dhaifu Kuwa vyenye NguvuSomo la Paulo kutoka kwenye “mwiba” Waefeso 2:19–20; 4:11–14Katika Umoja wa ImaniYesu Kristo analiongoza Kanisa Lake kupitia mitume na manabii. Waefeso 6:11–17Silaha Zote za MunguKubaki salama kiroho Wathesalonike 1 na 2Watoto wa NuruKuamini katika Yesu Kristo wakati tukimsubiri Yeye aje tena Timotheo 1 na 2Barua kwa TimotheoPaulo anamshauri rafiki yake kijana Waebrania 11–12Kuishi kwa Imani katika Yesu KristoYeye ni “mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu.” Yakobo1–3Barua kutoka kwa YakoboMwaliko wa kutii, sio tu kusikia, neno la Mungu UfunuoYesu Kristo Atakuja TenaOno la Yohana juu ya tumaini katika Yesu Kristo