2025
Ripoti ya Takwimu, 2024
Mei 2025


Ripoti ya Takwimu, 2024

Kwa taarifa za waumini wa Kanisa, Urais wa Kwanza umetoa ripoti ifuatayo ya takwimu kuhusu ukuaji na hali ya Kanisa kufikia Desemba 31, 2024.

Vitengo vya Kanisa

Vigingi

3,608

Misioni

450

Wilaya

494

Kata na Matawi

31,676

Waumini wa Kanisa

Jumla ya Waumini

17,509,781

Watoto Wapya wa Kumbukumbukatika Mwaka 2024

91,617

Waongofu Walibatizwa katika Mwaka 2024

308,682

Wamisionari

Wamisionari Vijana wa Kufundisha

74,127

Wamisionari Waandamizi watoa Huduma za Kanisa

31,120

Wamisionari Vijana watoa Huduma za Kanisa

4,192

Mahekalu

Mahekalu Yanayofanya Kazi

194

Mahekalu Chini ya Ujenzi au Ukarabati

59

Mahekalu Mapya Yaliyotangazwa

114