“Makala za Imani,” Rafiki, Januari 2025, 49. Makala za Imani 1 Tunaamini katika Mungu, Baba wa Milele, na katika Mwanawe, Yesu Kristo, na katika Roho Mtakatifu. 2 Tunaamini kwamba wanadamu wataadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao wenyewe, na sio kwa ajili ya uvunjaji sheria wa Adamu.