Mpango wa Baba wa Mbinguni
Kabla hatujaja duniani, tuliishi kama roho. Tuliishi pamoja na wazazi wetu wa mbinguni. Tulikuja duniani kujifunza, kukua, na kuwa kama Yesu Kristo. Yeye anatusaidia sisi.
Kwa sababu ya Yesu Kristo na Upatanisho Wake, tunaweza kuishi na Baba wa Mbinguni tena siku moja! (Ona Mafundisho na Maagano 76:41, 62.)
Kielelezo na Audrey Day