2024
Kristo Anawapa Nguvu ya Kuwabariki Wanefi
Novemba 2024


“Kristo Anawapa Nguvu ya Kuwabariki Wanefi,” Rafiki, Oktoba 2024, 49.

Kristo katika Kitabu cha Mormoni

Kristo Anawapa Nguvu ya Kuwabariki Wanefi

“Na ikawa kwamba … [Yesu] aliwagusa wanafunzi ambao alikuwa amewachagua kwa mkono wake, mmoja mmoja mpaka alipowagusa wote, na aliwazungumzia huku akiwagusa.

“Na … wanafunzi wanashuhudia kwamba aliwapatia uwezo wa kutoa Roho Mtakatifu” (3 Nefi 18 36–37).

Yesu Kristo akiweka mikono Yake juu ya vichwa vya wanafunzi Wake Wanefi

Wanafunzi Ambao Alikuwa Amewachagua na Casey Childs