“Manabii ni Nani?” Rafiki, Nov. 2024, 46–47.
Misingi ya Injili
Manabii ni Nani?
Rais Russell M. Nelson ni nabii wa Kanisa hili leo.
Nabii ni mtu aliyeitwa na Mungu kuongea kwa niaba Yake na kuongoza Kanisa la Yesu Kristo.
Maandiko yanatusimulia hadithi kuhusu manabii kutoka zamani za kale.
Mungu hutubariki na kutulinda tunapofuata mafundisho ya manabii.
Tunapomfuata nabii, tunamfuata Yesu Kristo.
Vielelezo na Alyssa Tallent