“Kwa Ajili ya Watoto Wakubwa,” Rafiki, Mi 2025, 34–35.
Kwa Ajili ya Watoto Wakubwa
Maneno kutoka Kwako
Kwa kawaida ninahisi woga kidogo ninapokwenda kulala. Ninaposali, ninahisi amani na kusinzia haraka.
Vance R., miaka 9, Utah, Marekani
Nilipoteza kitabu changu cha shule na kusali kwa Baba wa Mbinguni anisaidie. Nilikuta kimefichika chini ya nguo zangu mbele yangu. Ilinisaidia kuelewa jinsi sala ilivyo muhimu.
Minh P., umri miaka 11, Mkoa wa Hanoi, Vietnam
Mchungaji Mwema
Jifunze jinsi ya kumchora mchungaji na kondoo wake. Ni kwa jinsi gani Yesu Kristo hutusaidia wakati tunapohisi kama kondoo aliyepotea?
Kusimama Mahali Patakatifu
Yesu Kristo anatutaka sisi “tusimame mahali patakatifu” (Mafundisho na Maagano 45:32). Tunaweza kumhisi Roho katika mahali patakatifu. Fuata njia ya kila mtoto ili kuona mahali patakatifu wanapoenda.
Taa Ndogo
Joseph Smith alifundisha, “Kile Kilicho cha Mungu ni Nuru” (Mafundisho na Maagano 50:24) Wekea duara kitu katika kila safu ambacho hakihusiki hapo!
Vielelezo na Katy Dockrill