2025
Nifundishe Kuhusu Maandiko
Machi 2025


“Nifundishe Kuhusu Maandiko,” Rafiki, Machi 2025, 46–47.

Misingi ya Injili

Nifundishe Kuhusu Maandiko

Mvulana mdogo amekaa kwenye rundo la vitabu akisoma

Maandiko yaliandikwa na manabii ili kutufundisha kuhusu injili.

Maandiko yanatuambia kuhusu Yesu Kristo na jinsi ya kuwa kama Yeye.

Yesu anatutaka tujifunze kutoka kwenye maandiko.

Baba wa Mbinguni atanibariki ninapofuata kile maandiko yanachofundisha.

Tambua Tofauti

Marafiki hawa wanaigiza hadithi ya maandiko. Ni vitu vingapi unaweza kuvipata kwenye picha ya juu ambavyo haviko kwenye picha ya chini?

Shughuli ya kutambua tofauti ya watoto waliovalia mavazi kama mashujaa wa maandiko

Vielelezo na Corey Egbert