“Nifundishe Kuhusu Maandiko,” Rafiki, Machi 2025, 46–47.
Misingi ya Injili
Nifundishe Kuhusu Maandiko
Maandiko yaliandikwa na manabii ili kutufundisha kuhusu injili.
Maandiko yanatuambia kuhusu Yesu Kristo na jinsi ya kuwa kama Yeye.
Yesu anatutaka tujifunze kutoka kwenye maandiko.
Baba wa Mbinguni atanibariki ninapofuata kile maandiko yanachofundisha.
Tambua Tofauti
Marafiki hawa wanaigiza hadithi ya maandiko. Ni vitu vingapi unaweza kuvipata kwenye picha ya juu ambavyo haviko kwenye picha ya chini?
Vielelezo na Corey Egbert