“Kupata Utulivu,” Rafiki, Machi 2025, 7.
Majibu kutoka kwa Mtume
Kupata Utulivu
Imetoholewa kutoka “Tulieni, na Jueni Kuwa Mimi ni Mungu,” Liahona, Mei 2024, 28–31.
Maandiko yanatufundisha ‘Tulieni, na mjue kuwa Mimi ni Mungu’ [Zaburi 46:10].
Kutulia bado kunaweza kutusaidia kumkumbuka Mwokozi na kuhisi amani katika nafsi zetu.
Tunaweza “kutulia” wakati tunapokuwa na imani kwamba Mwokozi hutusaidia kufanya mambo magumu.
Kila Jumapili tunaweza kutulia na kujua kwamba Mungu ni Baba yetu wa Mbinguni.
Vielelezo na Mark Robison