“Makala za Imani,” Rafiki, Machi 2025, 49. Makala za Imani 4 Tunaamini kwamba kanuni na ibada za kwanza za injili ni: kwanza, Imani katika Bwana Yesu Kristo; pili, Toba; tatu, Ubatizo kwa kuzamishwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi; nne, Kuwekewa mikono kwa ajili ya kipawa cha Roho Mtakatifu