2025
Kumkumbuka Rais Nelson
Novemba 2025 Rafiki


“Kumkumbuka Rais Nelson,” Rafiki, Novemba 2025, 2.

Kumkumbuka Rais Nelson

Nabii wetu mwema Rais Russell M. Nelson aliaga dunia wiki moja kabla ya mkutano mkuu. Alikuwa na umri wa miaka 101 alipoaga dunia na kuweka mfano wa kumfuata Yesu Kristo maisha yake yote. Wengi wa wanenaji walizungumza kumhusu yeye na kile alichofundisha. Hapa kuna chache tu za jumbe zake kama nabii.

Bila kujali mahali unapoishi au hali zako ni nini, Bwana Yesu Kristo ni Mwokozi wako .

“Msikilize Yeye,” mkutano mkuu, Apr. 2020.

Page PDF