“Nifundishe kuhusu Zaka,” Rafiki, Novemba 2025, 46–47.
Misingi ya Injili
Nifundishe kuhusu Zaka
Baba wa Mbinguni anataka sisi tulipe zaka. Zaka ni fungu la kumi la pesa zetu.
Kanisa hutumia zaka katika njia nyingi. Njia mojawapo ni kujenga mahekalu.
Zaka pia huenda kwa watu wenye uhitaji. Inaweza kutumika kusaidia baada ya dharura.
Tunapolipa zaka, tunamsaidia Baba wa Mbinguni kubariki watu ulimwenguni kote.
Sarafu za Zaka
Maliza kupaka rangi sarafu 10. Kisha zungushia sarafu moja ili kuitoa kwa ajili ya zaka.
Vielelezo na Daniela Sosa