“Kuchagua Kumfuata Kristo,” Rafiki, Novemba 2025, 11.
Majibu kutoka kwa Mtume
Kuchagua Kumfuata Kristo
Imechukuliwa kutoka “Kufungamanisha Mapenzi Yetu na Yake,” Liahona, Nov. 2024, 48–50.
Kama wanafunzi wa Kristo, tunataka kutembea kwenye njia ambayo Yeye aliiwekea alama kwa ajili yetu.
Hatutaki tu kumfuata Yeye, bali pia tunatafuta kuwa kama Yeye.
Ninaomba kwamba kila mmoja wetu ataweza kutamka kwa Baba yetu wa Mbinguni na Mwokozi Yesu Kristo kwamba “kile kinachofanya kazi Kwako, kinafanya kazi kwangu.”
Vielelezo na Mark Robison