“Sanaa ya Mshumaa,” Rafiki, Septemba 2025, 13.
Kitu cha kuburudisha
Sanaa ya Mshumaa
Tunaweza kuwa nuru kwa wengine tunapowatumikia (ona Mafundisho na Maagano 103:9).
-
Paka rangi na ukate vipande vya mshumaa.
-
Zungusha kipande cha mstatili kwenye mrija na gundisha.
-
Funga kwa tepu au gandisha miale ya moto nyuma ya mrija.
-
Weka mshumaa wako mahali ambapo unaweza kuuona ili kukukumbusha kuwa nuru kama Yesu Kristo.
Kielelezo na Denise Holmes