Sehemu ya Burudani
Vielelezo na Michelle Dickson
Imefichwa katika Edeni
Adamu na Hawa kwanza waliishi katika bustani nzuri huko Edeni (ona Mwanzo 2; Musa 3). Je, unaweza kupata mimea na miti iliyofichwa katika taswira hii ya bustani?
Kuoanisha Uumbaji
Katika siku sita, Yesu Kristo aliumba dunia chini ya maelekezo ya Baba wa Mbinguni (Musa 1:33), kisha akapumzika siku ya saba (Musa 3:1–3; Mwanzo 2:1–3).
Je, unajua nini kiliumbwa kwa kila moja ya siku sita? Chora mstari ili kuunganisha siku na picha yake inayooana. (Kama unahitaji msaada, soma Musa 2 au Mwanzo 1.)
-
Siku ya Kwanza
-
Siku ya Pili
-
Siku ya Tatu
-
Siku ya Nne
-
Siku ya Tano
-
Siku ya Sita
-
A.
-
B.
-
C.
-
D.
-
E.
-
F.
Kufikiria mambo ya anga katika Henoko
Mji wa Henoko “ulichukuliwa mbinguni” baada ya wao kuwa “wa moyo mmoja na wazo moja” (Musa 7:18–21). Je, wewe unaweza kusaidia mji huu kuwa “mmoja” kwa kutafuta vipande sahihi vinavyokosekana?
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Vichekesho
Ni kwa jinsi gani ninapaswa kukushinda unapokuwa daima Samweli Mlamani? Yeye anayokinga ya mashambulizi ya mshale!
Val Chadwick Bagley
Majibu
Kuoanisha Uumbaji: Siku ya kwanza: C (nuru na giza); siku ya pili: E (anga); siku ya tatu: B (mimea); siku ya nne: D (jua, mwezi, nyota); Siku ya tano: F (ndege na viumbe wa baharini); siku ya sita: (wanyama na wanadamu).
Kufikiria Mambo ya Anga katika Henoko: 2