EnglishConnect kwa ajili ya Wamisionari
Mpango wa Kujifunza EnglishConnect 1 na 2


“Mpango wa Kujifunza EnglishConnect 1 na 2,” EnglishConnect kwa ajili ya Mwongozo wa Kujifunza kwa Wamisionari

“Mpango wa Kujifunza EC 1 na 2,” EC kwa ajili ya Mwongozo wa Kujifunza kwa W

akina dada wawili wamisionari wakijifunza pamoja

Mpango wa Kujifunza EnglishConnect 1 na 2

Siku ya 1–2: Kitabu cha Kiada cha Mwanafunzi

Siku ya 3–4: Kitabukazi

  • Rejelea “Vocabulary” wa ziada ulio nyuma ya kitabukazi chako ukiwa pekee yako au pamoja na mwenza wako.

  • Kamilisha sehemu ya “Conversation” na “Activities 1–8” kwa ajili ya kusikiliza, kuongea, kusoma na kuandika (inapatikana katika kitabukazi au kwenye missionary.englishconnect.org).

  • Unaweza kutumia nyenzo za sauti za kitabukazi katika Maktaba ya Injili kwa ajili ya shughuli za kusikiliza kitabukazi:

Siku 5–6: Kitabukazi na Kurejelea

  • Kamilisha “Expansion Activities” pekee yako au pamoja na mwenza wako. Unaweza kufanya shughuli hizi katika kitabukazi au kwenye missionary.englishconnect.org.

  • Kamilisha shughuli za “Practice” pamoja na mwenza wako. Tumia mpango wa somo wa mwenza aliye katika daraja la chini. Unaweza kufanya shughuli hizi katika kitabukazi kwenye missionary.englishconnect.org.

  • Kamilisha shughuli za matamshi na mazoezi ya kujichunguza (yanayopatikana kwenye missionary.englishconnect.org).

  • Rejelea msamiati, mipangilio na mazungumzo. Fanya mazoezi ya kuongea kwa kadiri uwezavyo.