“Makala ya Imani,” Rafiki. Makala ya Imani 11. Tunadai haki ya kumwabudu Mungu Mwenyezi kulingana na mwongozo wa dhamiri zetu sisi wenyewe, na tunawaruhusu watu wote haki hiyo, na waabudu namna, mahali, au cho chote watakacho.