Miitaala kwa ajili ya Msingi na Wakati wa Kushiriki
Makala ya Imani
Makala ya Imani


“Makala ya Imani,” Rafiki.

Makala ya Imani

PDF

4. Tunaamini kwamba kanuni na ibada za kwanza za Injili ni: kwanza, Imani katika Bwana Yesu Kristo; pili, Toba; tatu, Ubatizo kwa kuzamishwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi; nne, Kuwekewa mikono kwa ajili ya kipawa cha Roho Mtakatifu.