2010
Sio Baraka ya Kawaida
Aprili 2010


Watoto

Sio Baraka ya Kawaida

Kanisa lilipangwa miaka 180 iliyopita mwezi huu. Rais Dieter F. Uchtdorf alisema sio “baraka ya kawaida” kuishi leo, wakati Kanisa limerejeshwa. Ili kupata kati ya baraka kuu ambazo Baba wa Mbinguni anawapatia watu kupitia Kanisa, tafuta maandiko yafuatayo.

Matendo ya Mitume 22:16

2 Nefi 32:5

Yakobo 5:14–15

M&M 20:8–11

Amosi 3:7

M&M 110:7–10